Matthew 13:44

Mfano Wa Hazina Iliyofichwa Na Lulu

44 a “Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”

Copyright information for SwhNEN